Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba kuikabili Dar City, Yanga kujikumbusha na Mbao 32 bora kombe la Shirikisho
Michezo

Simba kuikabili Dar City, Yanga kujikumbusha na Mbao 32 bora kombe la Shirikisho

Spread the love

 

DROO ya 32 ya michuano ya kombe la Shirikisho la Azam imechezeshwa hii leo, ambapo bingwa mtetezi wa michuano hiyo klabu ya Simba itamenyana na Dar City, wakati huo Yanga watakuwa kibarua dhidi ya Mbao FC. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Michezo ya hatua hiyo inatarajiwa kupigwa kati ya tarehe 28-30 Januari, mwaka huu ambapo timu zitakazofuzu zitaingia moja kwa moja kwenye hatua ya 16 bora.

Katika hatua hiyo timu zinazoshiriki Ligi Kuu bara zipo 15, huku katika michezo miwili zitakutana wenyewe kwa wenyewe.

Mchezao wa kwanza utakaozikutanisha timu za Ligi utakuwa kati ya Biashara United ya Mara, dhidi ya Mbeya Kwanza na mchezo mwengine utakuwa Kmc ambao watawakabili Ruvu Shooting.

Ifutayo ni ratiba kamili ya michuano hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!