Sunday , 19 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia afanye uteuzi
Habari Mchanganyiko

Rais Samia afanye uteuzi

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Profesa Maulid Mwatawala kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Uteuzi wa Profesa Mwatawala umeanza tarehe 30 Oktoba 2021, akichukua nafasi ya Profesa Bernadeth Kilian ambaye amemaliza muda wake.

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Jumanne, tarehe 2 Novemba 2021 na Jaffar Haniu, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu akiwa Glasgow nchini Scotland ambako Rais Samia yupo huko akihudhuria mkutano Mkutanowa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP26).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Balile aukwaa uenyekiti wahariri Afrika Mashariki

Spread the loveJumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Uhifadhi kujengewa uwezo zaidi

Spread the love  WIZARA ya Maliasili na Utalii imejipanga vyema kuendelea kulijengea...

Habari Mchanganyiko

Wanavyuo Dodoma waonja utamu wa chimbo la nyuki

Spread the love  TAMASHA la Chimbo la Nyuki lililofanyika katika Ukumbi wa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

error: Content is protected !!