Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita
Habari za SiasaTangulizi

Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita

Vick Kamata
Spread the love

 

ALIYEKUWA mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vick Kamata Servacius Likwelile, ameibuka na kueleza mambo mazito ambayo yeye na baadhi ya wabunge wenzake, waliyapitia katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Akiandika katika ukurasa wake Instagram, Vick amesema, “miaka mitano iliyoisha 2020, niliishi maisha magumu bungeni.” Anamtaja mwenzake ambaye anadai kuwa ubunge ulimtokea puani kama yeye, ni Dk. Dalali Peter Kafumu, ambaye alikuwa mbunge wa Igunga, mkoani Tabora.

Vick ameeleza hayo, muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Arusha, kumhukumu kifungo cha miaka 30 gerezani, Lengai ole Sabaya, ambaye alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kwa habari zaidi, soma gazeti lako la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu, 18 Oktoba 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

Spread the loveKATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu...

error: Content is protected !!