Wednesday , 29 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu
Habari za Siasa

Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu

Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu)
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu). Anaripoti Jemima Samwel, DMC … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo wa Haniu, imetolewa leo Jumatano, tarehe 9 Juni 2021 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, anayemaliza muda wake.

Msigwa ambaye tayari ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuruegnzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, amesema, uteuzi wa Haniu unaanza leo Jumatano.

Gerson Msigwa mkuu wa idara ya habari na maelezo

Kabla ya uteuzi huo, Haniu ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, alikuwa Mtendaji Mkuu wa vyombo vya habari vya Africa Media Group Limited vya Channel Ten na Magic FM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

DC aagiza wanakijiji kuunda Sungusungu kudhibiti mauaji

Spread the loveMKUU wa wilaya ya Songwe mkoni hapa, Solomon Itunda ameagiza...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Diaspora watuma trilioni 2, sasa kupewa hadhi maalumu

Spread the loveWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Makamba ataja faida 10 ziara za viongozi nje

Spread the loveWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

BiasharaHabari MchanganyikoHabari za Siasa

Wazanzibar watarajia makubwa kutoka NMB Pesa Akaunti

Spread the loveWateja wapya wa Benki ya NMB wa Zanzibar wanatarajia neema...

error: Content is protected !!