Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif kuzikwa leo Z’bar
Habari za Siasa

Maalim Seif kuzikwa leo Z’bar

Spread the love

 

MWILI wa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, aliyefariki leo Jumatano, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, utazikwa leo Alhamisi, Mtambwe, Pemba visiwani Zanzibar. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).

Ratiba iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanizbar, inaonyesha mwili wa Maalim Seif (77) ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, utasaliwa katika Msikiti wa Maamur, Dar es Salaam asubuhi ya kesho kisha kusafirishwa kwenda Unguja.

Ratiba yote hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

Spread the loveKATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RUWASA yachongewa, yateketeza mamilioni kwa maji yenye magadi

Spread the loveSAKATA la ukosefu wa maji wilayani Momba mkoani Songwe limezidi...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

error: Content is protected !!