Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Tangulizi Elon Musk: Mtu tajiri zaidi duniani
Tangulizi

Elon Musk: Mtu tajiri zaidi duniani

Spread the love

KWA mujibu wa taasisi ya Bloomberg Billionaires Index na Forbes Real Time Billionaires, Elon Musk ambaye ni Mmiliki wa Kampuni ya Tesla na SpaceX, ametangazwa kuwa mtu mwenye utajiri zaidi duniani. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea).

Musk anatajwa kuwa na utajiri wa Dola za Marekani bilioni 185 baada ya hisa zake za kampuni ya SpaceX kuongezeka jana Alhamisi tarehe 7 Januari 2021.

Nafasi hiyo imekuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Jeff Bezos, mwasisi wa Kampuni ya Amazon tangu mwaka 2017.

Taarifa zaidi zinaeleza, kampuni yake ya Tesla inayozalisha magari ya kutumia umeme, imeongeza faida mara dufu na kwa mara na kwanza imefikia Dola za Marekani bilioni 700 Jumatano wiki hii na kuzipiku kampuni za Ford, Volkswagen, Toyota, GM na Hyundai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!