Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Tangulizi Elon Musk: Mtu tajiri zaidi duniani
Tangulizi

Elon Musk: Mtu tajiri zaidi duniani

Spread the love

KWA mujibu wa taasisi ya Bloomberg Billionaires Index na Forbes Real Time Billionaires, Elon Musk ambaye ni Mmiliki wa Kampuni ya Tesla na SpaceX, ametangazwa kuwa mtu mwenye utajiri zaidi duniani. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea).

Musk anatajwa kuwa na utajiri wa Dola za Marekani bilioni 185 baada ya hisa zake za kampuni ya SpaceX kuongezeka jana Alhamisi tarehe 7 Januari 2021.

Nafasi hiyo imekuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Jeff Bezos, mwasisi wa Kampuni ya Amazon tangu mwaka 2017.

Taarifa zaidi zinaeleza, kampuni yake ya Tesla inayozalisha magari ya kutumia umeme, imeongeza faida mara dufu na kwa mara na kwanza imefikia Dola za Marekani bilioni 700 Jumatano wiki hii na kuzipiku kampuni za Ford, Volkswagen, Toyota, GM na Hyundai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!