Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa
Habari Mchanganyiko

Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa

Spread the love

CHANZO cha kifo cha Antony Banzi, aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga kimetejwa kuwa ni ugonjwa wa koo. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea).

Kwenye iliyotolewa na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imeeleza kwamba Askofu Banzi alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ambapo mauti yalimkuta.

Kiongozi huyo wa kiroho kabla ya kufikwa na umauti, alikwenda India kwa ajili ya matibabu na akarejea nchini ingawa alikuwa hajapona vizuri.

Na kwamba, baada ya kupata matibabu awali, aliruhusiwa kurejea nyumbani kwake kutokana na afya yake kuimarika.

Pia askofu huyo alikuwa Mwenyekiti na Mlezi wa Mashirika ya Masista na Watawa wote Tanzania ambapo Septemba mwaka huu, alitimiza miaka 25 ya uaskofu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wami Ruvu hawana deni la Rais Samia katika kutunza vyanzo vya maji

Spread the love  BODI ya Maji Bonde la Wami Ruvu, imeendelea kuchua...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari Mchanganyiko

Dk. Jafo aipongeza Oryx kumuunga mkono Samia

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

error: Content is protected !!