Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa
Habari Mchanganyiko

Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa

Spread the love

CHANZO cha kifo cha Antony Banzi, aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga kimetejwa kuwa ni ugonjwa wa koo. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea).

Kwenye iliyotolewa na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imeeleza kwamba Askofu Banzi alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ambapo mauti yalimkuta.

Kiongozi huyo wa kiroho kabla ya kufikwa na umauti, alikwenda India kwa ajili ya matibabu na akarejea nchini ingawa alikuwa hajapona vizuri.

Na kwamba, baada ya kupata matibabu awali, aliruhusiwa kurejea nyumbani kwake kutokana na afya yake kuimarika.

Pia askofu huyo alikuwa Mwenyekiti na Mlezi wa Mashirika ya Masista na Watawa wote Tanzania ambapo Septemba mwaka huu, alitimiza miaka 25 ya uaskofu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Ditopile aungana na Wana-Kongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

Spread the loveKATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti...

Habari Mchanganyiko

PSSSF yawekeza kwenye viwanda 4, kuzalisha ajira 3,000

Spread the loveKATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini,...

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

Spread the love  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja...

Habari Mchanganyiko

NSSF yawapa darasa wahariri uwekezaji wa nyumba, yapewa cheti

Spread the loveMFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito...

error: Content is protected !!