Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa
Habari Mchanganyiko

Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa

Spread the love

CHANZO cha kifo cha Antony Banzi, aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga kimetejwa kuwa ni ugonjwa wa koo. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea).

Kwenye iliyotolewa na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imeeleza kwamba Askofu Banzi alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ambapo mauti yalimkuta.

Kiongozi huyo wa kiroho kabla ya kufikwa na umauti, alikwenda India kwa ajili ya matibabu na akarejea nchini ingawa alikuwa hajapona vizuri.

Na kwamba, baada ya kupata matibabu awali, aliruhusiwa kurejea nyumbani kwake kutokana na afya yake kuimarika.

Pia askofu huyo alikuwa Mwenyekiti na Mlezi wa Mashirika ya Masista na Watawa wote Tanzania ambapo Septemba mwaka huu, alitimiza miaka 25 ya uaskofu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!