Tuesday , 30 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba yaipiga Plateau 1-0, yaisubiri Dar
Michezo

Simba yaipiga Plateau 1-0, yaisubiri Dar

Spread the love

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Plateau United ya Nigeria. Anaripoti Kelvin Mwaipunga, Dar es Salaam …(endelea).

Mchezo huo umechezwa leo Jumapili tarehe 29 Novemba 2020 Uwanja wa New Jos nchini Nigeria na mechi ya marudiano itachezwa 5 Desemba 2020 Uwanja wa Benjamin, Dar es Salaam nchini Tanzania.

Goli pekee la Simba limefungwa Clatous Chama dakika ya 53.

Katika mchezo wa marudiano, Simba itahitaji sare ya aina yoyote au ushindi ili kuwawezesha kusonga mbele kwenye michuano hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

error: Content is protected !!