Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Mwamyeto atua Yanga, Niyonzima Azam
Michezo

Mwamyeto atua Yanga, Niyonzima Azam

Spread the love

USAJILI wa wachezaji wa Ligi Kuu ya Vodamom Tanzania Bara kwa msimu ujao wa 2020/21 umeendelea kushika kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Mabingwa wa kihistoria, Timu ya Yanga imeendelea kuboresha ukuta wake kwa kumsajili beki kisiki wa Coastal Union ya Tanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Bakari Nondo Mwamnyeto.

Mwamnyeto amehitimisha uvumi wa wapi anakwenda msimu ujao kwa kusaini mkataba wa miaka miwili ya kutumia timu ya wananchi.

Upande mwingine, timu ya Azam FC ya Dar es Salaam nayo imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa kimataifa wa Rwanda, Ally Niyonzima.

Niyonzima aliyekuwa akihusishwa kujiunga na Yanga, amesaini kandarasi ya miaka miwili kama mchezaji huru.

Kiungo hiyo alikuwa akikipiga Rayon Sports ya Rwanda.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!