Saturday , 2 December 2023
Home Kitengo Michezo Mwamyeto atua Yanga, Niyonzima Azam
Michezo

Mwamyeto atua Yanga, Niyonzima Azam

Spread the love

USAJILI wa wachezaji wa Ligi Kuu ya Vodamom Tanzania Bara kwa msimu ujao wa 2020/21 umeendelea kushika kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Mabingwa wa kihistoria, Timu ya Yanga imeendelea kuboresha ukuta wake kwa kumsajili beki kisiki wa Coastal Union ya Tanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Bakari Nondo Mwamnyeto.

Mwamnyeto amehitimisha uvumi wa wapi anakwenda msimu ujao kwa kusaini mkataba wa miaka miwili ya kutumia timu ya wananchi.

Upande mwingine, timu ya Azam FC ya Dar es Salaam nayo imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa kimataifa wa Rwanda, Ally Niyonzima.

Niyonzima aliyekuwa akihusishwa kujiunga na Yanga, amesaini kandarasi ya miaka miwili kama mchezaji huru.

Kiungo hiyo alikuwa akikipiga Rayon Sports ya Rwanda.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Fernandes hakamatiki Man Utd, mahesabu ni kuifunga Bayern

Spread the love  NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, alikuwa na kiwango...

Michezo

Meridianbet na Ligi ya Europa inakupa pesa za kumwaga mapema sana

Spread the love  KOMBE la UEFA Europa League ni zito kuliko makombe...

Michezo

Kwapua mpunga na mechi za UEFA leo na kesho

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya kuendelea leo na kesho...

AfyaMichezo

GGML yatoa milioni 17 kung’arisha ATF Marathon

Spread the loveKATIKA kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kukabiliana na maambukizi...

error: Content is protected !!