Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Yanga wamtimua kocha wake, kisa ubaguzi
Michezo

Yanga wamtimua kocha wake, kisa ubaguzi

Lucy Eymael
Spread the love

KLABU ya Yanga imemfuta kazi kocha wake, Lucy Eymael kutokana na kauli zake za kibaguzi alizozitoa kwa mashabiki wa timu hiyo katika vipindi tofauti. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Pamoja na Eymael kuisaidia Yanga kumaliza Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumaliza katika nafasi ya pili baada ya kushinda mchezo wake wa jana dhidi ya Lipuli FC kwa bao 1-0, lakini klabu ya Yanga imemtaka kocha huyo kuondoka kuhakikisha anaondoka haraka nchini.

Eymael amekutana na rungu hiyo baada ya kutoa kauli za kibaguzi kwa mashabiki wa Yanga hawajui mpira na anapofanya mabadiliko huwa wanaopiga makelele kama nyani.

Taarifa kamili ya Yanga kumtimua Eymael hii hapa:-

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!