Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Prof. Lipumba kugombea urais, achukuliwa fomu
Habari za Siasa

Prof. Lipumba kugombea urais, achukuliwa fomu

Prof. Ibrahim Lipumba akikabidhiwa fomu ya kuwania Urais kwa tiketi ya CUF
Spread the love

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amechukuliwa fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Ulwe Rajabu, Dar es Salaam … (endelea).

Fomu hiyo amechukuliwa leo tarehe 23 Julai 2020, na kundi la vijana wa chama hicho katika Wilaya ya Kinondoni, na sasa wamempelekea mwenyekiti huo katika Ofisi Kuu ya CUF, Buguruni.

Taarifa zaidi kukujia….

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!