Tuesday , 30 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Milioni 7 wapona corona duniani
Habari Mchanganyiko

Milioni 7 wapona corona duniani

Spread the love

WAGONJWA milioni 7.58 waliokuwa wameambukizwa virusi vya corona (COVID-19) duniani wamepona. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa mtandao wa Worldometer, hadi kufikia leo asubuhi Jumatatu tarehe 13 Julai 2020, wagonjwa milioni 13.03 wameambukizwa corona duniani. Kati ya wagonjwa hao, waliofariki dunia ni 571,659.

Marekani imeendelea kuongoza kwa kuwa na maambukizo milioni 3.41, waliopona milioni 1.5 na waliofariki dunia 137,782.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina maambukizo 83,602 kati ya hayo, waliopona ni 78,648 na waliofariki dunia wakiwa 46,34.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

Spread the love  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Spread the loveWatoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa...

Habari Mchanganyiko

Bil 12.4 zimetumika ujenzi wa miradi wilaya ya Momba

Spread the love MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Songwe katika mikakati ya elimu ya lishe kudhibiti udumavu

Spread the love  SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe...

error: Content is protected !!