Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa BREAKING NEWS: Zitto ahukumiwa, apewa masharti magumu
Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Zitto ahukumiwa, apewa masharti magumu

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Spread the love

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, kutotoa na kuandika maneno ya uchochezi kwa muda wa mwaka mmoja. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Huruma Shaidi baada ya kumtia hatiani katika makosa yote matatu katika kesi ya uchochezi namba 327/2018.

Habari zaidi zitakujia kupitia hapa hapa MwanaHALISI ONLINE

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

error: Content is protected !!