Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, kutotoa na kuandika maneno ya uchochezi kwa muda wa mwaka mmoja. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Huruma Shaidi baada ya kumtia hatiani katika makosa yote matatu katika kesi ya uchochezi namba 327/2018.
Habari zaidi zitakujia kupitia hapa hapa MwanaHALISI ONLINE
Leave a comment