Wednesday , 1 May 2024
Home Kitengo Michezo Ligi Kuu Hispania ‘La Liga’ Juni 8
Michezo

Ligi Kuu Hispania ‘La Liga’ Juni 8

Spread the love

SERIKALI ya Hispania kupitia Waziri Mkuu wake Pedro Sanchez, ametangaza kuwa Ligi Kuu Hispania ‘La Liga’ itarejea tena Juni 8, 2020 baada ya kusimama kwa mwezi mmoja kutokana na kuibuka kwa janga la Corona. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Sanchez amesema kuwa tayari nchi hiyo imeshafanya kila kitu kulichopaswa kufanya na hivyo na muda utafika wa kurudisha shughuli za watu za kila siku huku akitangaza tarehe rasmi ya kuendelea kwa ligi hiyo.

Tayari wachezaji mbalimbali wamesharipoti kwenye klabu zao na kuunza mazoezi kwa makundi katika chukua tahadhali kama zilizo hainishwa na mamlaka ya afya nchini humo.

Ligi hiyo ambayo ilisimama Machi 23, 2020 baada ya mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19, ikiwa imeshachezwa michezo 27 kwa kila timu huku klabu ya Barcelona ikiwa kileleni kwa alama 58 tofauti ya alama mbili tu na wapinzania wao Real Madrid ambao wana alama 56.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!