Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL
Habari za Siasa

Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL

ATCL Dreamliner
Spread the love

TATIZO la ndege za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kuchelewa kuanza safari zake, leo tarehe 30 Mei 2019 bungeni limeibuliwa na Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama. Anaripoti Mwanidishi Wetu … (endelea).

Nape ameihoji serikali kwamba, kumekuwepo na tatizo la ndege kuchelewa kuanza safari zake na wakati mwingine bila abiria kupewa taarifa yoyote na kwamba, nini chanzo chake.

“Kumekuwepo na ucheleweshwaji wa kuanza kwa safari za ndege za ATCL na wakati mwingine muda husogezwa mbele, nini kimekuwa kikichangia jambo hili?” amehoji Nape.

Atashasta Nditiye, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameeleza kuwa, tatizo hilo lemekuwa likishughulikiwa na kuwa, kwa sasa kukiwa na ucheleweshwaji, abiria hupewa taarifa.

Nditiye amefafanua kuwa, tayari wamefanya mabadiliko makubwa huku wakiendelea kulikabila tatizo hilo ambalo sasa limepungua.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!