Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL
Habari za Siasa

Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL

ATCL Dreamliner
Spread the love

TATIZO la ndege za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kuchelewa kuanza safari zake, leo tarehe 30 Mei 2019 bungeni limeibuliwa na Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama. Anaripoti Mwanidishi Wetu … (endelea).

Nape ameihoji serikali kwamba, kumekuwepo na tatizo la ndege kuchelewa kuanza safari zake na wakati mwingine bila abiria kupewa taarifa yoyote na kwamba, nini chanzo chake.

“Kumekuwepo na ucheleweshwaji wa kuanza kwa safari za ndege za ATCL na wakati mwingine muda husogezwa mbele, nini kimekuwa kikichangia jambo hili?” amehoji Nape.

Atashasta Nditiye, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameeleza kuwa, tatizo hilo lemekuwa likishughulikiwa na kuwa, kwa sasa kukiwa na ucheleweshwaji, abiria hupewa taarifa.

Nditiye amefafanua kuwa, tayari wamefanya mabadiliko makubwa huku wakiendelea kulikabila tatizo hilo ambalo sasa limepungua.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

error: Content is protected !!