Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani
Habari za Siasa

JPM ateua Mwenyekiti Bodi ya Tume ya Ushindani

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani nchini (FCC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu leo tarehe 30 Oktoba 2018.

Sehemu ya taairifa hiyo inaeleza kuwa, uteuzi wa Prof. Moshi unaanza leo. Prof. Moshi alikuwa Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!