Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Leo kila mwathirika MV Nyerere kulamba Mil 1
Habari za SiasaTangulizi

Leo kila mwathirika MV Nyerere kulamba Mil 1

Spread the love

RAIS John Magufuli anatarajiwa kutoa kiasi cha Shiling milioni moja kwa kila mwathirika wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa jana na Isack Kamwelwe, Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano.

Fedha hizo ni nje ya zile Sh. 500,000 zilizokabidhiwa kwa kila maiti ambapo fedha za leo zitaelekezwa kwa waliofiwa na walionusurika.

“Rais ameniagiza kuwa, ataongeza fedha kwa waathirika na atatoa shilingi milioni moja kwa waathirika wote waliopoteza ndugu zao na walionusurika,” amesema.

Amesema, idadi ya watu waliofariki imeendelea kuongezeka ambapo mpaka kufikia Jumatatu jioni maiti mbili ziliopolewa.

Na kwamba, wahusani wameendelea kuchanga fedha kwa ajili ya msaada kwa waathirika ambapo mpaka Jumatatu jioni likuwa zimeishakusanywa jumla ya Sh. 397 milioni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!