Wednesday , 27 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Leo kila mwathirika MV Nyerere kulamba Mil 1
Habari za SiasaTangulizi

Leo kila mwathirika MV Nyerere kulamba Mil 1

Spread the love

RAIS John Magufuli anatarajiwa kutoa kiasi cha Shiling milioni moja kwa kila mwathirika wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa jana na Isack Kamwelwe, Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano.

Fedha hizo ni nje ya zile Sh. 500,000 zilizokabidhiwa kwa kila maiti ambapo fedha za leo zitaelekezwa kwa waliofiwa na walionusurika.

“Rais ameniagiza kuwa, ataongeza fedha kwa waathirika na atatoa shilingi milioni moja kwa waathirika wote waliopoteza ndugu zao na walionusurika,” amesema.

Amesema, idadi ya watu waliofariki imeendelea kuongezeka ambapo mpaka kufikia Jumatatu jioni maiti mbili ziliopolewa.

Na kwamba, wahusani wameendelea kuchanga fedha kwa ajili ya msaada kwa waathirika ambapo mpaka Jumatatu jioni likuwa zimeishakusanywa jumla ya Sh. 397 milioni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!