Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lowassa ataja sababu za Kalanga kurudi CCM
Habari za Siasa

Lowassa ataja sababu za Kalanga kurudi CCM

Spread the love

WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa. Edward Lowassa leo amewahutubia wananchi wa Kata ya Migungani Wilayani Monduli katika kufunga Kampeni ya Uchaguzi mdogo wa marudio ya Udiwani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Lowassa amekanusha vikali tuhuma zilizozagaa kwamba anawatuma watu wake watangulie nayeye atarejea, Pia amesema chanzo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli Julius Kalanga kuunga kile kinachodaiwa ni juhudi sio kweli, “kilichomfanya aondoke ni anadaiwa mkopo,” amesema Lowassa.

Uchaguzi mdogo wa Marudio ya Udiwani utafanyika siku ya Kesho Jumapili Agosti 12, 2018.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

Spread the loveNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za Siasa

Askofu Shoo awataka ACT kupigania maslahi ya Taifa, wasikubali kuhongwa

Spread the loveALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu...

Habari za Siasa

Biteko aagiza waajiri kudhibiti vifo mahali pa kazi

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

error: Content is protected !!