Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Waitara kutikisa Ukonga kesho
Habari za SiasaTangulizi

Waitara kutikisa Ukonga kesho

Mwita Waitara, Naibu wa Waziri wa TAMISEMI
Spread the love

ALIYEKUWA Mbunge wa Ukonga, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwita Mwaikabe Waitara, kesho Ijumaa, atapokelewa rasmi jimboni humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Waitara ambaye aliondoka Chadema Jumamosi iliyopita na kujiunga na Chama Cha Mapimduzi (CCM), anatarajiwa kupokelewa kwenye chama chake hicho kipya, kupitia mkutano maalum wa jimbo la Ukonga.

Kwa mujibu wa Waitara, katika mkutano huo, viongozi kadhaa wa Kata na matawi kutoka jimbo la Ukonga na jimbo jirani la Segerea, wanatajiwa kuondoka na Chadema na kujiunga na CCM.

“Kesho ndio naanza kazi rasmi ya kubomoa Chadema pale Ukonga,” amesema Waitara na kuongeza, “Nataka kuwaonyesha kuwa mimi nina watu na kwamba uamuzi wangu wa kuondoka Chadema ulikuwa sahihi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

Spread the loveNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za Siasa

Askofu Shoo awataka ACT kupigania maslahi ya Taifa, wasikubali kuhongwa

Spread the loveALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu...

Habari za Siasa

Biteko aagiza waajiri kudhibiti vifo mahali pa kazi

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

error: Content is protected !!