Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mengi yaibuka kutumbuliwa kwa Mwigulu Nchemba
Habari za SiasaTangulizi

Mengi yaibuka kutumbuliwa kwa Mwigulu Nchemba

Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Uchumi
Spread the love

KUONDOLEA kwa Mwigulu Nchemba katika nafasi ya Waziri wa Mambo na Ndani ya Nchi kumezua mijadala mikali kwa wadau wa siasa, huku kila mmoja akitoa sababu za kuondolewa kwake katika nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mwigulu aliondolewa  katika nafasi ya uwaziri baada ya Rais John Magufuli kufanya marekebisho madogo katika baraza la mawaziri na nafasi yake kuchukuliwa na Kange Lugola.

Baada ya Mwigulu kuondolewa wadau wa siasa wamegawanyika katika pande mbili, huku kila upande ukielezea sababu za kuondolewa kwake.

Upo upande unaoamini kuwa Mwigulu ameondolewa kwa kwenda tofauti na mfumo wa Serikali ya Awamu ya Tano, lakini wengine wakiamini kuwa ametumbuliwa kutokana na kushindwa kusimamia majukumu yake katika nafasi aliyokuwa nayo kama Waziri wa Mambo ya Ndani.

Baadhi ya maoni ya wadau hao katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kuondolewa kwa Mwigulu.

https://twitter.com/Julius_Mtatiro/status/1013415733424984064

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

error: Content is protected !!