Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ndugai alalamikia Chadema kumficha Bilago
Habari za SiasaTangulizi

Ndugai alalamikia Chadema kumficha Bilago

Viongozi wa Chadema wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu, Mwalimu Kasuku Bilago. Picha ndogo Spika wa Bunge, Job Ndugai
Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia hatua yake ya kulizuia Bunge, kumzika mbunge wa Buyungu, Mwalimu Kasuku Bilago. Anaripoti Mwandishi Wetu kutoka Dodoma… (endelea).

“Nimefadhaishwa na kusikitishwa sana na uamuzi wa wabunge wa Chadema kunizuia mimi na Bunge, kutimiza wajibu wake wa msingi wa kumzika mbunge wake, Mwalimu Kasuku Bilago,” ameeleza Ndugai katika mazungumzo yake na mbunge mmoja kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ofisini kwake mjini Dodoma.

Amesema, “hawa watu ni wa ajabu sana. Hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya kugombana katika jambo hili. Lakini haya yametokea kutokana na kutokuwapo tu kwa mawasiliano.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!