Saturday , 4 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Makunga ajiuzulu, TEF waridhia
Habari MchanganyikoTangulizi

Makunga ajiuzulu, TEF waridhia

Spread the love

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeridhia kujiuzuru kwa Mwenyekiti wake Theophil Makunga aliyeomba kujiuzulu. Anaripoti Angel Willium … (endelea).

Makunga aliomba kujiuzulu jana Ijumaa kwa kuuandikia uongozi wa jukwaa hilo.
Kutokana na uamuzi huo wa Makunga, TEF walikutana katika mkutano wa dharura na kuridhia barua yake.

Katika ujumbe uliosambazwa na TEF na kusainiwa na Katibu wake, Neville Meena, umeeleza kujiuzulu kwa aliyekuwa mwenyekiti wake watakosa busara zake ambazo bado zilikuwa zinahitajika katika ukuaji wa taasisi hiyo.

TEF inamtakia kila la kheri Makunga katika majukumu yake mengine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

error: Content is protected !!