Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma
Habari Mchanganyiko

Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma

Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu
Spread the love

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa anatarajia kuungana na Mapadri  pamoja na Maaskofu katika kusherea Jubilei ya miaka 100 ya upadri kwenye kituo cha Hija kilichopo eneo la Mbwanga kata ya Miyuji mjini Dodoma, anaandika Dany Tibason.

Sherehe hizo zinatarajia kushirikisha zaidi ya Mapadri na Maaskofu  520 na kuongozwa na Rais wa Mashirika ya Kipapa nchini Vatican, Mhashamu Askofu Protas Rugambwa ambaye anamuakilisha Papa Benedict 16.

Katika ibada hiyo, Askofu Kiongozi wa Jimbo Katholiki Kigoma, Joseph Mlola, amewaasa waumini wa kanisa hilo nchini kuwaombea Mapadri na Maaskofu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari Mchanganyiko

Dk. Jafo aipongeza Oryx kumuunga mkono Samia

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

error: Content is protected !!