Sunday , 28 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga
Habari Mchanganyiko

Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga

Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella
Spread the love

SAKATA la malipo ya fidia kwa wakazi wanaopisha mradi wa bomba la mafuta vijiji vya Kata ya Chongoleani, limeingia sura mpya baada ya wadau wa Asasi za kiraia mkoani hapa kushinikiza haki itendeke kwa wananchi hao ili walipwe kabla ya mradi huo kuanza, anaandika Mwandishi Wetu.

Aidha, serikali na Asasi za kiraia zimetakiwa kuwaandaa wananchi katika kukabiliana na changamoto za uwekezaji ili wazawa wasiwe wasindikizaji kwenye uchumi.

Mkutano huo uliofunguliwa na Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella ulihusu kujenga ushirikiano na kuaminiana baina ya Asasi za kiraia na serikali.

Wakichangia katika mkutano huo wananchi wanaopisha mradi huo waliitaka serikali kuwasikiliza madai ya wananchi hao badala ya kuwapuuza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mvungi aendesha kikao kazi cha wataalam wa Regrow

Spread the love  MKURUGENZI wa Idara Sera na Mipango Wizara ya Maliasili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Polisi wakanusha kufanya uzembe ajali iliyouwa mwandishi Ayo Tv

Spread the loveJESHI la Polisi limekanusha tuhuma zilizoibuliwa dhidi yake  kwamba limekawia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuzindua gazeti litakalotoa habari za wafanyakazi Tanzania

Spread the loveSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), liko mbioni kufufua...

error: Content is protected !!