Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Madrid ‘yaikazia’ Man U kwa Morata
Michezo

Madrid ‘yaikazia’ Man U kwa Morata

Alvaro Morata
Spread the love

REAL Madrid, mabingwa wa soka nchini Hispania na barani Ulaya, wameendelea kushikilia msimamo wao kutotaka kumuuza mshambuliaji wao Alvero Morata kwa kiasi cha fedha kilicho chini ya Pauni 80 milioni, anaandika Shafiyu A. Kyagulani.

Man United ya England inamuhitaji Morata ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mshambuliaji raia wa Sweeden Zlatan Ibrahimovich ambaye kandarasi yake imefikia ukomo.

Man U ilitenga kiasi cha Pauni 52 milioni, kama dau la kumnasa mhispanmi ahuyo, hata hivyo Madrid wanendelea kukaza kamba wakisema, thamani ya mshambuliaji huyo ni pauni 80 milioni.

Mtendaji mkuu wa Man U, yupo katika mazungumzo na Madrid ili kuangalia uwezekano wa kumsajili Morata ambaye anaonekana kuhitajika na Kocha mreno Jose Mourinho ili kuiongezea nguvu safu yaye ya ushambuliaji.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!