Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Madrid ‘yaikazia’ Man U kwa Morata
Michezo

Madrid ‘yaikazia’ Man U kwa Morata

Alvaro Morata
Spread the love

REAL Madrid, mabingwa wa soka nchini Hispania na barani Ulaya, wameendelea kushikilia msimamo wao kutotaka kumuuza mshambuliaji wao Alvero Morata kwa kiasi cha fedha kilicho chini ya Pauni 80 milioni, anaandika Shafiyu A. Kyagulani.

Man United ya England inamuhitaji Morata ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mshambuliaji raia wa Sweeden Zlatan Ibrahimovich ambaye kandarasi yake imefikia ukomo.

Man U ilitenga kiasi cha Pauni 52 milioni, kama dau la kumnasa mhispanmi ahuyo, hata hivyo Madrid wanendelea kukaza kamba wakisema, thamani ya mshambuliaji huyo ni pauni 80 milioni.

Mtendaji mkuu wa Man U, yupo katika mazungumzo na Madrid ili kuangalia uwezekano wa kumsajili Morata ambaye anaonekana kuhitajika na Kocha mreno Jose Mourinho ili kuiongezea nguvu safu yaye ya ushambuliaji.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

error: Content is protected !!