TAMASHA kubwa la kimataifa la utamaduni na utalii linalojulikana kama Lake Zone Cultural and Tourism Festival limezinduliwa rasmi Jijini Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024WABUNGE wanawake kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania wametoa tuzo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ya kutambua mchango wake katika kuhamasisha...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024WAKILI wa Mwanaharakati Godlisten Malisa, Hekima Mwasipu amesema mteja wake anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kusambaza taarifa...
By Faki SosiJune 7, 2024Mkuu wa Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Rwanda, Oda Gasinzigwa amesema jina la Diane Rwigara (42) ambaye ni kiongozi wa vuguvugu la...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024Wafuasi wa chama cha African National Congress (ANC) nchini Afrika Kusini, wameandamana jijini Johannesburg, kushinikiza viongozi wao wakatae kuingia katika muungano na chama...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024SERIKALI imesema ukomo wa michango kwa wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali ni Sh 80,000 kwa shule za...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kujenga laini mpya ya umeme kutoka Nyakanazi-Ushirombo...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024KABIDHI Wasii Mkuu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Frank Kanyusi amewataka wafungishaji ndoa wote nchini kujisajili...
By Mwandishi WetuJune 7, 2024Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wanafunzi vyuo vikuu kuachana na utamaduni wa kulalamika, badala yake wawe mabalozi wazuri...
By Mwandishi WetuJune 7, 202420 Imperial Crown Deluxe ni mchezo wa kasino mtandaoniunaohusu matunda, mchezo huu una safu tano zilizopangwakatika mistari mitatu yenye mistari 20 ya malipo....
By Mwandishi WetuJune 6, 2024CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekituhymu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kutumia mikutano ya hadhara kutoa hotuba za kuchochea vurugu na umwagaji...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, huku sababu ikitajwa ni kuboresha utendaji kazi . Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024UMOJA wa Afrika (AU) na Shirika la Kilimo na Chakula (FAO) wamemtambua Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024IMEELEZWA kuwa iwapo serikali itawekeza kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi, migongano baina ya binadamu na wanyamapori chini itapungua kama sio kuisha...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024Mwanaharakati Godlisten Malisa, ametiwa mbaroni na askari wa jeshi la Polisi muda mchache baada ya kutoka kwenye chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi...
By Faki SosiJune 6, 2024ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama Cha Alliance for Democratic Change (ADC) Taifa, Doyo Doyo ametangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024Wabunge wa Bunge la Wawakilishi la Congress kutoka nchini Marekani wamepongeza juhudi za uhifadhi zinazofanywa na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro hususan utunzaji...
By Gabriel MushiJune 6, 2024MFANYABIASHARA maarufu jijini Mwanza, Christina Shiriri (Manka), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumchoma moto mfanyakazi wake wa ndani (House Girl),...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024Leo hii kuna mechi kibao za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 Afrika zinaendelea ambapo mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania, Meridianbet wamekuwekea...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema hakuna mjadala kuhusu muelekeo wa Serikali ya Rais Samia Suluhu...
By Gabriel MushiJune 6, 2024MWENYEKITI mpya wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi (Sugu), ameanza kazi rasmi licha ya ushindi wake kuwekewa...
By Mwandishi WetuJune 6, 2024MWEI 31 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na ujumbe mzito, alisafiri umbali wa kilomita 10,200 kutoka jijini Dar es Salaam hadi...
By Gabriel MushiJune 6, 2024Ushirikishwaji wa Watanzania katika shughuli za madini (Local Content) na Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakipigiwa...
By Gabriel MushiJune 6, 2024Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amekabidhi tuzo maalum kwa kampuni ya nishati ya gesi ya kupikia ya Taifa Gas Limited ikiwa ni...
By Mwandishi WetuJune 5, 2024WATU 14 wamefariki 14 wamefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea jijini Mbeya baada lori moja lililokuwa limebeba kokoto kuparamia basi dogo...
By Mwandishi WetuJune 5, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema asilimia 93 ya uvuvi wote hapa nchini unategemea wavuvi wadogo na hivyo...
By Gabriel MushiJune 5, 2024Wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya Kupiga kura katika jimbo la Kwahani mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar wametakiwa kufanya kazi kwa kujiamini,...
By Mwandishi WetuJune 5, 2024Unaambiwa huko Meridianbet Bosi hataki mchezo, ilePromosheni ya shindano la Expanse si unaijua? Basi Pesazimeongezeka kwa washindi na sasa dau limefikia TshMilioni Nne,...
By Mwandishi WetuJune 5, 2024Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Sh 422.16 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa...
By Gabriel MushiJune 5, 2024Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimewataka wandishi wa habari nchini kuzitumia sheria zilizopo kuhakikisha wanausaidia umma katika ukuzaji wa uhuru wa kujieleza....
By Mwandishi WetuJune 5, 2024SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuharibiwa na shughuli hizo ndio maana...
By Gabriel MushiJune 5, 2024Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana kupitia njia ya mtandao tarehe 7 Juni mwaka huu katika Mkutano...
By Mwandishi WetuJune 5, 2024Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo ya mafuta ya petroli kupitia Bandari ya Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJune 5, 2024SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la usimamizi wa Mazingira na Maendeleo ya Uchumi (EMEDO) limesema kuwa takwimu za shirika la afya Duniani (WHO)...
By Masalu ErastoJune 5, 2024Mechi mbalimbali kutoka ligi mbalimbali zinaendelea ambapo wewe mteja wa Meridianbet una nafasi ya kupiga pesa kwa kuchagua mechi zako za ushindi....
By Mwandishi WetuJune 4, 2024Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amemteua Prof. Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kusambazaji umeme kwa wananchi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akitoa...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameieleza dunia kuwa uwekezaji wa kweli katika nishati ni kuwekeza katika nishati safi...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024Mechi mbalimbali kutoka ligi mbalimbali zinaendelea ambapo wewe mteja wa Meridianbet una nafasi ya kupiga pesa kwa kuchagua mechi zako za ushindi. Suka...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024SERIKALI ya Tanzania, imesema haijaweka rehani rasilimali za nchi ili kupata mkopo wa zaidi ya Sh. 6.7 trilioni, kutoka katika Serikali ya Korea...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024SERIKALI imeanza kuichunguza Taasisi ya Athuman Kapuya, dhidi ya tuhuma za usambazaji ushoga inazoikabili shirika hilo lisilo la kiserikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024ERICK Magulu (33), mkazi wa wilaya ya Kilombero, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, kwa tuhuma za kumuua kinyama mtoto wake wa...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024WAKULIMA na wafugaji wametakiwa kutokichagua tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025, kwa madai...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024MWENYEKITI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Foundation), Mzee Joseph Butiku, amekemea tabia ya baadhi ya watu kumchangia fedha Rais Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024Kama ulijua huna bahati na umechoka kujaribu kwenyemaisha yako, usikate tamaa, jaribu sana kucheza shindanola Expanse ndani ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, Mamilioni...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024WITO umetolewa kwa madhehebu ya dini kushirikiana na Serikali katika kuweka mpango mkakati wa kiroho na kuiokoa jamii ikiwemo watoto kuondokana na tabia...
By Christina HauleJune 4, 2024Adha ya upatikanaji wa maji safi na salama, iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kijiji cha Mherule, kata ya Mwanya Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024HIFADHI ya Taifa ya Saadani imeanza mpango wa kudhibiti wanyamapori, wakiwemo tembo wasivamie maeneo ambayo ni makazi ya watu kwa kwa kuwavalisha...
By Yusuph KayandaJune 4, 2024Balozi wa Tanzania nchini Korea, Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo kutoka Jamhuri ya Korea...
By Gabriel MushiJune 4, 2024NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Mamalaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuendelea kutoa huduma bora...
By Mwandishi WetuJune 4, 2024