Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi wasambaratisha mkutano wa Zitto Tarime
Habari za SiasaTangulizi

Polisi wasambaratisha mkutano wa Zitto Tarime

Spread the love

JESHI la Polisi limezuia mkutano wa pamoja wa wabunge, Zitto Kabwe ( ACT), Upendo Peneza (Chadema) na John Heche (Chadema) wa kumnadi mgombea udiwani Chadema Kata ya Turwa wilayani Tarime. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mkutano huo unadaiwa kuzuiwa kwa sababu ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi  wa wilaya hiyo kusimamisha mikutano yote ya Chadema.

Zitto Kabwe ambaye pia ni  Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema Jeshi la Polisi linamshikilia Mbunge Esther Matiko pamoja na Mwandishi wa Habari wa Tanzania Daima, Tuma Sitta.

“Polisi wamenizuia kufika kituoni kumwona Mbunge Esther Matiko. Polisi wamevamia ofisi za Chadema Tarime na kurusha mabomu ya machozi. Udiwani tu unaleta maafa makubwa,” amesema Zitto.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!