Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mwenyekiti UVCCM arudishwa rumande
Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti UVCCM arudishwa rumande

Spread the love

BAADA ya kukamatwa, Sadifa Khamis ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM Taifa leo amefikishwa mahakamani Dodoma kwa tuhuma za kugawa rushwa, anaandika Hamis Mguta.

Mwenyekiti huyo amerudishwa rumande mpaka Desemba 19 mwaka 2017 akituhumiwa kuwapa wajumbe soda na nauli.

Awali Sadifa pamoja na mjumbe mmoja wa UVCCM waliwekwa sero jana kwa tuhuma za kutoa na kupokeea rushwa kwa ajili ya kununua uongozi na leo .

Kitendo cha Sadifa kutuhumiwa, kimenukuliwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dk John Magufuli kama ni jambo la aibu ambapo alisema kijana ambaye ana kashfa ya rushwa hasipatiwe nafasi yoyote ndani ya uongozi wa vijana kwa maana hawawezi kuwa watenda kazi wema ndani ya jumuiya hiyo.

Mbali na Rais Magufuli kukerwa na vitendo vya rushwa pia ametangaza kuifuta bodi ya UVCCM kwa maelezo kuwa haina msaada wowote kwa jumuiya hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!