Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu atinga Mlimani City
Habari za Siasa

Lissu atinga Mlimani City

Spread the love

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema ametembelea Mlimani City jijini Dar es Salaam na kufanya manunuzi mbalimbali katika moja ya maduka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Lissu anaendelea kutumikia adhabu ya kufungiwa siku saba kutokufanya kampeni kwa siku saba na Kamati ya Kitaifa ya Maadili ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuanzia tarehe 3 Oktoba 2020, itahitimishwa kesho Ijumaa.

Jana Jumatano, Lissu alitembelea maeneo mbalimbali ya Kariakoo jijini humo na kufanya manunuzi mbalimbali ikiwemo mchele na matunda.

Leo Alhamisi mchana tarehe 8 Oktoba 2020, Lissu ameonekana katika madaku ya Mlimani City akinunua bidhaa mbalimbali na baadaye anatarajiwa kwenda soko la Manzese ambako nako atanunua bidhaa akiwa huko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!