Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kangi Lugola atengua uamuzi wake mwenyewe
Habari za Siasa

Kangi Lugola atengua uamuzi wake mwenyewe

Spread the love

SERIKALI imefuta utaratibu wa utoaji vibali kwa wananchi wanaolima jirani na kambi za wakimbizi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katazo hilo limetolewa jana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Wilaya ya Kankonko mkoani Kigoma baada ya kupokea malalamiko kutoka wananchi hao, kwamba utaratibu huo kuchelewesha shughuli zao.

Kufuatia malalamiko hayo, Waziri Lugola aliwataka wananchi wanaolima jirani na kambi za wakimbizi kuendelea na shughuli za kilimo pasipo kuomba kibali kama ilivyokuwa awali.

“Naagizia huu utaratibu ufutwe na wananchi wawe huru kwenda kulima katika maeneo ambayo yapo jirani na hiyo kambi pamoja na kambi zinginezo, na pia wasisumbuliwe na mtu yeyote, ” alisema Lugola.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!