Tuesday , 30 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa MV Kigamboni, MV Kazi kusitishwa huduma zake
Habari za Siasa

MV Kigamboni, MV Kazi kusitishwa huduma zake

Spread the love

IWAPO Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) pia Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) watashindwa kuboresha usafiri wa maji, vyombo hivyo vitasitishwa kuendelea kutoa huduma. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 26 Septemba 2018 na Sara Msafiri, Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni wakati wa ziara yake.

Sara amesema, hatua hiyo itachukuliwa kwa kuwa, amebaini upungufu mkubwa katika uendeshaji wa kivuko hicho.

Akina na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya yake Sara amesema, kwa kuwa daraja la Nyerere lipo hakutakuwa na sababu ya kuendelea na uendeshaji vivuko huvyo kama maagizo ya uboreshaji hayatofanyiwa kazi.

“Kuna tatizo kwenye usimamizi na uendeshaji, hakuna kamera za usalama lakini pia hakuna hata namba za dharura ndani ya kivuko,” amesema.

“Tumebaini mapungufu mengi sana, nimetoa maelekezo kama hayatafanyiwa kazi tutafunga kwa sababu tuna daraja letu la Mwalimu Nyerere tutalitumia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

Spread the loveCHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

Spread the love  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za...

error: Content is protected !!