Tuesday , 26 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Kangi Lugola atengua uamuzi wake mwenyewe
Habari za Siasa

Kangi Lugola atengua uamuzi wake mwenyewe

Spread the love

SERIKALI imefuta utaratibu wa utoaji vibali kwa wananchi wanaolima jirani na kambi za wakimbizi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katazo hilo limetolewa jana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Wilaya ya Kankonko mkoani Kigoma baada ya kupokea malalamiko kutoka wananchi hao, kwamba utaratibu huo kuchelewesha shughuli zao.

Kufuatia malalamiko hayo, Waziri Lugola aliwataka wananchi wanaolima jirani na kambi za wakimbizi kuendelea na shughuli za kilimo pasipo kuomba kibali kama ilivyokuwa awali.

“Naagizia huu utaratibu ufutwe na wananchi wawe huru kwenda kulima katika maeneo ambayo yapo jirani na hiyo kambi pamoja na kambi zinginezo, na pia wasisumbuliwe na mtu yeyote, ” alisema Lugola.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chande aliyeng’olewa TANESCO kwenda TTCL apelekwa Posta

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa, Mkurugenzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Kamugisha aanika utekelezaji mpango kazi 2022/23

Spread the loveMWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama Cha ACT-Wazalendo Mkoa...

Habari za Siasa

Vijana ACT-Wazalendo wakabidhiwa kivumbi kulinda kura uchaguzi 2024,2025

Spread the loveNGOME ya Vijana ya Chama cha  ACT-Wazalendo, imetakiwa kuwanoa wafuasi...

error: Content is protected !!