Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF yatangaza wagombea ubunge 136
Habari za Siasa

CUF yatangaza wagombea ubunge 136

Spread the love

CHAMA Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimewatangaza wagombea wake 136 wa ubunge katika majimbo ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)

Tanzania bara ina majimbo 214 na Zanzibar majimbo 50. Hii ina maana kwamba, bado haijateua majimnbo 76 ili kutimiza 214.

Orodha hiyo imetoelwa leo Jumatatu tarehe 24 Agosti 2020 ikiwa ni siku moja imesalia kabla ya shughuli ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu za uteuzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kufungwa.

Kesho Jumanne tarehe 25 Agosti 2020, NEC itafanya uteuzi wa wagombea watakaokidhi vigezo.

Kampeni za uchaguzi huo zitaanza tarehe 26 Agosti hadi 27 Oktoba 2020 na uchaguzi mkuu utakuwa Jumatano 28 Oktoba 2020.

Orodha yote ya wagombea hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!