Friday , 26 April 2024

Day: November 5, 2020

Michezo

Etienne aita 27 Stars, Kaseke, Ninja ndani

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania Etienne Ndayilagije ameita kikosi chenye wachezaji 27 kitakacho ingia kambini kwa ajili ya kujiwinda na mchezo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aanza kuteua, amteua AG

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameanza kuunda Serikali atakayoiongoza kwa miaka mitano ijayo 2020-2025 kwa kumteua Profesa Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa...

Michezo

Al Ahly, Zamalek watinga fainal klabu Bingwa

BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Raja Casablanca, klabu ya soka ya Zamalek imetinga hatua ya fainali ya kombe...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake kiguu na njia polisi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe wameripoti Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam....

Habari za Siasa

Rais Museveni azungumzia anguko la Mbowe

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amesema aliona mapema anguko la vyama vya upinzani kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

GGML kujenga bustani ya kisasa Geita

WAKAZI wa Mji wa Geita wanafurahia kuwa sehemu ya mradi wa bustani ya kupumzikia inayoanza kujengwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited...

Habari za Siasa

Magufuli: Uchaguzi umekwisha, tulijenge Taifa

JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewaeleza wananchi wa Taifa hilo uchaguzi mkuu umemalizika na jukumu lililopo mbele ni...

Habari za SiasaTangulizi

A-Z kuapishwa Magufuli

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma, amemwapisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania atakayeongoza Taifa hilo kwa kipindi cha...

error: Content is protected !!