Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Utaratibu kuomba ajira za walimu watolewa
Habari Mchanganyiko

Utaratibu kuomba ajira za walimu watolewa

Seleman Jafo
Spread the love

OFISI ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetoa tangazo la nafasi za walimu wa shule za msingi na sekondari zaidi ya 13,000 nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Tangazo la Katibu Mkuu wa Tamisemi limesema, waombaji wanapaswa kutuma maombi kunzia jana tarehe 7 Septemba hadi 21 Septemba 2020.

Katika tangazo hilo, limeelezea sifa za waombaji na aina ya walimu wanaohitajika.

Soma tangazo na maelezo yote hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Habari Mchanganyiko

Makamba: China ni ya mfani kwa kupunguza umaskini

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January...

error: Content is protected !!