OFISI ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetoa tangazo la nafasi za walimu wa shule za msingi na sekondari zaidi ya 13,000 nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Tangazo la Katibu Mkuu wa Tamisemi limesema, waombaji wanapaswa kutuma maombi kunzia jana tarehe 7 Septemba hadi 21 Septemba 2020.
Katika tangazo hilo, limeelezea sifa za waombaji na aina ya walimu wanaohitajika.
Soma tangazo na maelezo yote hapa chini;
Leave a comment