Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Profesa Lipumba apata pigo la kufunga mwaka
Habari za Siasa

Profesa Lipumba apata pigo la kufunga mwaka

Prof. Ibrahim Lipumba
Spread the love

CHAMA cha Wananchi (CUF), upande unaongozwa na Profesa Ibrahim Lipumba kimepata pigo kubwa baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kupiga marufuku bodi yake kujihusisha na shughuli zozote za chama hicho mpaka shauri la msingi litakapomalizika, anaandika Hamisi Mguta.

Profesa Lipumba ambaye anatambuliwa na msajili wa vyama siasa nchini analumbana na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Shariff Hammad hatua ambayo imesababisha pande hizo mbili kufikishana mahakamani ili kutafuta haki.

Awali, mahakama hiyo iliyatupilia mbali maombi ya Wakili Mashaka Ngole (anayemwakilisha Lipumba) aliyokuwa anaomba Jaji asisome maamuzi hayo kwa madai kuwa Lipumba anakusudia kukata rufaa juu ya maamuzi ya Jaji kukataa kujitoa kusikiliza mashauri ya CUF.

Mahakama Kuu imesema, hakuna hoja za kisheria zinazoizuia kuacha kuendelea na shughuli ilizozipanga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!