Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Mwanasheria Mack Boman afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mwanasheria Mack Boman afariki dunia

Spread the love

MWANASHERIA Mkuu wa kwanza Tanzania, Mark Bomani amefariki dunia usiku wa kumakia leo tarehe 11 Septemba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa zilizopatikana mpaka sasa kutoka kwa wanafamilia wa mwanasheria huyo zinasema, Bomani (76) amefariki dunia alipokuwa akipata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhmbili (MNH), jijini Dar es Salaam, hata hivyo haijaelezwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.

Bomani aliongoza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuanzia mwaka 1965 hadi 1976 chini ya serikali ya kwanza ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, Milioni 180…

Spread the loveMSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako...

error: Content is protected !!