Friday , 9 June 2023
Home Kitengo Michezo Man Utd, Man City kuanza Ligi mwisho wa wiki hii
Michezo

Man Utd, Man City kuanza Ligi mwisho wa wiki hii

Spread the love

KLABU za Manchester United na Manchester City zinatarajia kuanza mbio zake kwenye Ligi Kuu nchini Uingereza mwishoni wa juma hili baada ya kupumzika kwa wiki moja. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Manchester United atakuwa nyumbani Old Trafford kuwakabili Crystal Palace huku Manchester City itakuwa ugenini dhidi ya Wolves.

Kuchelewa kwa timu hizi kuanza michezo ya ligi kuu nchini humo imetokana na ushiriki wao kwenye michuani ya klabu bingwa kwa upande wa Man City na kombe la Europa kwa Manchester United katika msimu uliomalizika.

Ligi hiyo ilianza 12 Septemba, 2020 kwa kupigwa jumla ya michezo 12, huku ikishuhudiwa bingwa mtetezi Liverpool akianza vyema kutetea ubingwa wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Leeds United.

Michezo mingine miwili ya Ligi hiyo itaendelea hii leo ambapo Chelsea itakuwa ugenini kuwakabili Brighton huku Sheffield United itakuwa nyumbani wolves.  

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariMichezo

Benki ya NBC yazindua kombe jipya la Ligi Kuu Tanzania Bara

Spread the loveMDHAMINI Mkuu wa Ligi ya NBC , Benki ya Taifa...

MichezoTangulizi

Yanga malizeni ugomvi na Fei Toto – Rais Samia

Spread the love  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

Michezo

Samia aipongeza klabu ya Yanga kwa hatua iliyofikia

Spread the love RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

Michezo

Yanga waitwa Ikulu kesho Jumatatu

Spread the love RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu, tarehe...

error: Content is protected !!