Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Haya hapa matokeo kidato cha sita, ualimu 2021
Habari Mchanganyiko

Haya hapa matokeo kidato cha sita, ualimu 2021

Wanafunzi wa kidato cha sita walipokuwa wanafanya mtihani
Spread the love

 

BARAZA la Mitihani Tanzania (NACTE), limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu, iliyofanyika Mei 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Matokeo hayo yametangazwa leo Jumamosi, tarehe 10 Julai 2021 na Katibu Mkuu NACTE, Dk. Charles Msonde, visiwani Zanzibar.

Kuyaona matokeo hayo gusa kiunganishi (link) hapo chini.

MATOKEO YOTE HATA HAPA

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!