
Wanafunzi wa kidato cha sita walipokuwa wanafanya mtihani
BARAZA la Mitihani Tanzania (NACTE), limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu, iliyofanyika Mei 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).
Matokeo hayo yametangazwa leo Jumamosi, tarehe 10 Julai 2021 na Katibu Mkuu NACTE, Dk. Charles Msonde, visiwani Zanzibar.
Kuyaona matokeo hayo gusa kiunganishi (link) hapo chini.
More Stories
Huduma ya Teleza Kidigitali yazinduliwa Morogoro
Taasisi yaanzisha mafunzo kuwanoa wadau wa mawasiliano nchini
GGML yatoa msaada wa magari manne VETA Mwanza