Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Balozi Sokoine ateta na ujumbe wa PanAfrican Energy
Habari Mchanganyiko

Balozi Sokoine ateta na ujumbe wa PanAfrican Energy

Spread the love

KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine leo tarehe 15 Juni, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Panafrican Energy Tanzania Ltd katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. Anaripoti mwandishi Wetu …  (endelea)

Ujumbe wa Kampuni ya African Energy Tanzania Ltd umeongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Andrew Hanna ambapo viongozi hao pamoja na mambo mengine, wamejadili fursa za biashara na uwekezaji katika sekta ya gesi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!