Friday , 17 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Balozi Dk. Nchimbi amrithi Chongolo CCM
Habari za SiasaTangulizi

Balozi Dk. Nchimbi amrithi Chongolo CCM

Spread the love

KAMATI ya Halmshauri Kuu ya CCM leo Jumatatu imemteua Balozi Emmanuel John Nchimbi (53) kuwa Katibu Mkuu wa CCM akichukua nafasi ya Daniel Chongolo aliyejiuzulu tarehe 28 Novemba mwaka jana. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Nchimbi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kabla ya kumaliza muda wake. Awali alikuwa mbunge wa Songea mjini (CCM) kuanzia mwaka 2010 hadi 2015 pia alikuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo


Balozi Dk. Nchimbi ameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan aliyeongoxa kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya chama hicho kilichofanyika leo Jumatatu mjini Unguja, Zanzibar.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yatoa kauli wanaolala nje Hospitali ya Muhimbili

Spread the loveSERIKALI imesema inajipanga kushirikiana na sekta binafsi kujenga majengo yatakayosaidia...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara yaomba bajeti ya Sh. 67.9 bilioni, wamachinga watengewa bilioni 10

Spread the loveBAJETI ya Wizara ya maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Migogoro ya ndoa yaongezeka, Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveMIGOGORO ya ndoa na familia imeongezeka kwa asilimia 8.3  kutoka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yahamasisha uanzishaji vituo vya kulea watoto wachanga

Spread the loveSERIKALI imewahimiza wananchi kujenga vituo vya kulelea watoto wadogo na...

error: Content is protected !!