Friday , 17 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT Wazalendo yalia na machinga Arusha
Habari za Siasa

ACT Wazalendo yalia na machinga Arusha

Spread the love

CHAMA Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara ndogondogo maarufu ‘machinga’ yatakayowawezesha kufanyabiashara zao na si kuwakimbiza na kuwamwaga bidhaa zao. Anaripoti Faki  Sosi, Arusha (endelea).

Akizungumza leo tarehe 14 Januari 2023 katika uzinduzi Mkutano Mkuu wa chama hicho wa mkoa wa Arusha ulioambatana na uchaguzi wa viongozi wa mkoa huo,  Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara, Dorothy Semu amesema kuwa kitendo cha wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga cha kunyanyaswa na askari wa jiji hakivumiliki.

“Hiki ni kilio cha nchi mzima sisi ACT -Wazalendo  tunataka kujenga taifa litakalowaheshimu wafanya baishara wanawekewa mazingira mazuri biashara zao zitastawi, watafanya biashara kwa amani “

Amesema kuwa kisingizio cha kuwa wafanyabiashara wanachafua miji hakikubaliki.

“Tunasimama na wafanyabiashara tunaitaka Serikali  ya Arusha kuhakikisha wanaweka mazingira bora kwa ajili ya wafanyabiashara.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yatoa kauli wanaolala nje Hospitali ya Muhimbili

Spread the loveSERIKALI imesema inajipanga kushirikiana na sekta binafsi kujenga majengo yatakayosaidia...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara yaomba bajeti ya Sh. 67.9 bilioni, wamachinga watengewa bilioni 10

Spread the loveBAJETI ya Wizara ya maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yahamasisha uanzishaji vituo vya kulea watoto wachanga

Spread the loveSERIKALI imewahimiza wananchi kujenga vituo vya kulelea watoto wadogo na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Udhibiti wa serikali wakera asasi za kiraia

Spread the loveBaadhi ya wadau wa demokrasia na viongozi wa asasi za...

error: Content is protected !!