Monday , 20 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Sheikh Ponda mbaroni kwa kuandamana
Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda mbaroni kwa kuandamana

Spread the love

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda na wenzake  wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa kosa kuandamana kwa lengo la kushinikiza kusimamishwa kwa mapambano ya Israel na wapiganaji wa Hamas katika ukanda wa Gaza nchini Palestina. Anaripoti Faki Sosi …(endelea).

Sheikh Ponda na wenzake wanaokadiriwa kufika tisa wamekamatwa leo Ijumaa Mnazi mmoja walipapanga kuanza maandamano  yao waliyolenga kufika mpaka Manzese Tip Top .

Maandamano hayo hayakufika popote baada ya kachero wa Jeshi  la Polisi aliyevaa kiraia alipoonekana kumzuia Sheikh Ponda na wenzake kufanya maandamano hayo.

Kachero huyo  alimtaka Sheikh Ponda aingie kwenye gari lao .

Kwa mujibu wa msaidizi wa Sheikh Ponda amesema kuwa kiongozi wao na wafuasi wengine tisa wapo kwenye mikono ya Polisi.

1 Comment

  • Kwani walivunja sheria gani? Lerngo lao lilikuwa ni sawa na la serikali. Katika Umoja wa Mataifa nchi yetu ilupiga kura ya kusimamisha mauaji ya Gaza. Na ndio lengo la Ponda. Sasa kosa liko wapi?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Serikali kuwafagilia njia wawekezaji sekta ya mawasiliano

Spread the love  SERIKALI imesema kuwa itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa ajili...

Habari Mchanganyiko

Elimu ya utunzaji wa mazingira ipewe kipaumbele kwa watoto

Spread the love  JAMII imetakiwa kuwajengea Watoto tabia ya utunzaji wa mazingira...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Watumishi 85,471 walioenguliwa kipindi cha JPM wapandishwa vyeo

Spread the loveSERIKALI imesema kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 hadi sasa jumla...

KimataifaTangulizi

Rais Iran afariki kwa ajali ya helkopta

Spread the loveRais wa Iran, Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje...

error: Content is protected !!