Sunday , 19 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Hospitali Kuu Musoma vijijini yazinduliwa
Habari Mchanganyiko

Hospitali Kuu Musoma vijijini yazinduliwa

Spread the love

UTOAJI huduma za Afya katika Hospitali Kuu ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, umezinduliwa rasmi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara…(endelea).

Taraifa ya uzinduzi huo uliofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dk. Khalifan Haule,  imetolewa hivi karibuni na Ofisi ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo.

Hospitali hiyo ina majengo muhimu tisa. Majengo mengine sita yanaendelea kujenga ikiwemo la kufua.

“Hospitali hii yenye kutoa huduma za afya kwa kiwango cha hadhi ya Hospitali ya Wilaya, hadi sasa Serikali imeshatoa Sh. 3.49 bilioni kwa ajili ya Ujenzi na Sh. 600 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na dawa,” imesema taarifa.

Taarifa hiyo imesema hospitali ina vifaa vya kisasa, vikiwemo Digital x-rays, Ultrasound na mitambi ya kutengeneza Oxygen.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi ya kuinua vijana TZ

Spread the loveSERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani Sh...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari Mchanganyiko

Balile ateuliwa rais wa wahariri Afrika Mashariki

Spread the loveJumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa...

error: Content is protected !!